Habari za Punde

Zoezi la utoaji miche ya mikarafuu laendelea kisiwani Pemba

 MMOJA wa Vitalu vya Serikali Kisiwani Pemba, ambavyo vimeatikwa miti ya aina mbali mbali Kisiwani Pemba, Vikiwa Tayari kwa miche hiyo kutolewa na kwenda kupandwa.(PICHA NO:SAID ABRAHMAN,PEMBA)
 WAZIRI wa Kilimo, Maliasili, Mifogo na Uvuvi Mhe:Hamad Rashid Mohammed, akimkabidhi mche wa Mikarafuu mmoja wa wakulima wa zao hilo Kisiwani Pemba, katika zoezi la utoaji wa miche hiyo Kisiwani Pemba.(PICHA NO:SAID ABRAHMAN,PEMBA)
 MICHE mbali mbali ya Mikarafuu ambayo imo katika vitalu vya Serikali Kisiwani Pemba, vikiwa tayari kwa ajili ya kupandwa kwa miche hiyo.(PICHA NO:SAID ABRAHMAN,PEMBA)
 WAZIRI wa Kilimo, Maliasili, Mifogo na Uvuvi Mhe:Hamad Rashid Mohammed, akiangalia miche mbali mbali ya Mivinje ambayo tayari kwa kutolewa na serikali miti hiyo kwa ajili ya kupandwa.(PICHA NO:SAID ABRAHMAN,PEMBA)
MICHE mbali mbali ya Mikarafuu ambayo imo katika vitalu vya Serikali Kisiwani Pemba, vikiwa tayari kwa ajili ya kupandwa kwa miche hiyo.(PICHA NO:SAID ABRAHMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.