Muonekano wa uwanja wa Skukuu ya Eid El Fitri katika viwanja vya Mnazi Mmoja kama unavyoonekana pichani wakati wananchi wakisherehekea Sikukuu hiyo inayofanyika baada ya Mwezi wa Mfungo wa Ramadhini huadhimishwa na Waumini wa Dini ya Kiislamu Duniani kote.
Mabalozi wa Mashina ndiyo nguzo ya kukipambania Chama - Katibu Mkuu CCM.
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema Mabalozi wa Mashina ndiyo
nguzo ya kukipambania Chama,Kwani ndiyo macho, masikio na daraja la
kuunganish...
1 minute ago
0 Comments