Muonekano wa uwanja wa Skukuu ya Eid El Fitri katika viwanja vya Mnazi Mmoja kama unavyoonekana pichani wakati wananchi wakisherehekea Sikukuu hiyo inayofanyika baada ya Mwezi wa Mfungo wa Ramadhini huadhimishwa na Waumini wa Dini ya Kiislamu Duniani kote.
Makamu wa Pili wa Rais Z'bar Atoa Wito wa Kuulinda Muungano
-
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito kwa
wananchi wa Tanzania kuendelea kuulinda Muungano.
Hayo ameyasem...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment