Muonekano wa uwanja wa Skukuu ya Eid El Fitri katika viwanja vya Mnazi Mmoja kama unavyoonekana pichani wakati wananchi wakisherehekea Sikukuu hiyo inayofanyika baada ya Mwezi wa Mfungo wa Ramadhini huadhimishwa na Waumini wa Dini ya Kiislamu Duniani kote.
MSAFARA WA BAISKELI WA TWENDE BUTIAMA 2025 WAANZA RASMI KUTOKA DAR ES SALAAM
-
Dar es Salaam, Julai 2, 2025
Msafara wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini
Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya ...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment