Muonekano wa uwanja wa Skukuu ya Eid El Fitri katika viwanja vya Mnazi Mmoja kama unavyoonekana pichani wakati wananchi wakisherehekea Sikukuu hiyo inayofanyika baada ya Mwezi wa Mfungo wa Ramadhini huadhimishwa na Waumini wa Dini ya Kiislamu Duniani kote.
WAAZIMIA KUWABURUZA MAHAKAMANI WAHUJUMU MIUNDOMBINU YA UMEME TANDAHIMBA
-
-Wananchi watahadharishwa kuepuka vishoka
WENYEVITI wa Serikali za vijiji na vitongoji Wilaya ya Tandahimba Mkoa wa
Mtwara wamesema hawatakuwa na huruma kw...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment