Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, Balozi Hassan Simba Yahya, akizungumza wakati wakati wa ufunguzi wa
Mkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa
Afrika(SADC), uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu
Julius Nyerere,leo jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Masuala ya Siasa,Ulinzi na Usalama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)
Jorge Cardoso, akizungumza wakati
wa Mkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya
Jumuiya hiyo,uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu
Julius Nyerere,leo jijini Dar es Salaam
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi, Balozi Hassan Simba Yahya, akiongoza Mkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa
Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika,Kulia ni Kamishna Jenerali wa
Uhamiaji nchini, Dk. Anna Makakala.Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa
Mwalimu Julius Nyerere,leo jijini Dar es
Salaam
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji, Thobias Andengenye ,akichangia hoja wakati waMkutano wa Kamati Ndogo
ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa
Mwalimu Julius Nyerere,leo jijini Dar es
Salaam
Balozi Mdogo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
nchini, Profesa Jean Kitembo Mbilika ,akichangia hoja wakati waMkutano wa Kamati
Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa
Mwalimu Julius Nyerere,leo jijini Dar es
Salaam
Naibu Katibu Mkuu kutoka Malawi,Michael Gama
,akichangia hoja wakati waMkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya
ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa
Mwalimu Julius Nyerere,leo jijini Dar es
Salaam
Naibu Mkuu wa Uhamiaji kutoka nchini
Swaziland,Makhosi Simelane ,akichangia
hoja wakati waMkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya
Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika
katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius
Nyerere,leo jijini Dar es Salaam
Naibu Balozi wa Zimbabwe nchini, Walter Sande akichangia
hoja wakati waMkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo
Kusini mwa Afrika(SADC),uliofanyika
katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius
Nyerere,leo jijini Dar es Salaam
Kaimu Katibu Mkuu
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi Hassan Simba Yahya(wapili kulia),
akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mkutano wa Kamati Ndogo ya Usalama
wa Raia ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) Watatu kulia ni
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini, Dk. Anna Makakala.Mkutano huo umefanyika
katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere,leo jijini Dar es Salaam.
IMEANDALIWA NA KITENGO
CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.
No comments:
Post a Comment