BADO kauli mbiu
ya Jeshi la Polisi ya utii bila ya shuruti, imekuwa ikidharauliwa na baadhi ya
askari wa jeshi hilo, kama camera ya Gazeti la Zanzibar leo Pemba, ilivyomnasa
askari wa kikosi cha usalama barabarani, alieonekana akiwa amepakiwa kwenye
vespa Z 598 FG, katikati ya mji wa Chakechake, (Picha na mpiga picha wetu, Pemba).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe.
Vladimir Putin, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akipokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Shirikisho la Urusi Mhe.
Vlad...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment