BADO kauli mbiu
ya Jeshi la Polisi ya utii bila ya shuruti, imekuwa ikidharauliwa na baadhi ya
askari wa jeshi hilo, kama camera ya Gazeti la Zanzibar leo Pemba, ilivyomnasa
askari wa kikosi cha usalama barabarani, alieonekana akiwa amepakiwa kwenye
vespa Z 598 FG, katikati ya mji wa Chakechake, (Picha na mpiga picha wetu, Pemba).
DCEA YATUMA UJUMBE MZITO KWA WANAOENDLEA KUJIHUSISHA NA BIASHARA YA DAWA ZA
KULEVYA,YATOA KAULI HII…
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya(DCEA)imetuma ujumbe
kuwaambia wale ambao bado wanaendelea kufanya biashara...
25 minutes ago
No comments:
Post a Comment