BADO kauli mbiu
ya Jeshi la Polisi ya utii bila ya shuruti, imekuwa ikidharauliwa na baadhi ya
askari wa jeshi hilo, kama camera ya Gazeti la Zanzibar leo Pemba, ilivyomnasa
askari wa kikosi cha usalama barabarani, alieonekana akiwa amepakiwa kwenye
vespa Z 598 FG, katikati ya mji wa Chakechake, (Picha na mpiga picha wetu, Pemba).
TUNAKUJA TENA KUOMBA RIDHAA KWA KUJIAMINI NA UJASIRI MKUBWA- DK SAMIA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Zanzibar
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu
Hassan amesema kuelekea Uchaguzi Mkuu Okto...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment