Habari za Punde

UNDP Yachangia Milioni 110 Kwa Huduma za Maji Jimbo la Kikwajuni Zanzibar.I

Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni,visiwani Zanzibar, Mhandisi Hamad Masauni (katikati), akizungumza na Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP),Alvaro Rodriguez (kulia) na Waziri wa Ardhi ,Maji, Nishati na Mazingira wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe.Salama Aboud Talib, walipotembelea maeneo yatakayopita mabomba ya kusamabaza maji kwa wakazi wa jimbo hilo. UNDP wameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni 110 za kitanzania kufanikisha mradi huo
MratibuwaUmojawaMataifanchininaMwakilishiwaShirika la Maendeleo la UmojawaMataifa (UNDP),Alvaro Rodriguez, akizungumzanaWaziri waArdhi, Maji, NishatinaMazingirawaSerikaliyaMapinduziya Zanzibar, SalamaAboodTalib,baadayakumalizakutembeleamaeneoyaMradiwaMajiKikwajuniambapoUNDP wameahidikuchangiakiasi cha shilingimilioni 110 zakitanzaniakufanikishamradihuo
MratibuwaUmojawaMataifanchininaMwakilishiwaShirika la Maendeleo la UmojawaMataifa (UNDP),Alvaro Rodriguez,akifungabomba la majikatikamojayamaeneoambayoMradiwaMajiKikwajuniushakamilika.UNDP wameahidikuchangiakiasi cha shilingimilioni 110 zakitanzaniakufanikishakukamilikakwamradihuokatikamaeneoyoteyajimbohilo
MratibuwaUmojawaMataifanchininaMwakilishiwaShirika la Maendeleo la UmojawaMataifa (UNDP),Alvaro Rodriguez, akisadiananaMbungewaJimbo la Kikwajuni, Mhandisi Hamad Masauni(kushoto),kumtwishamkaziwajimbohilondooyamajiwakatiwaziarayaukaguziwamaeneoulikopitiaMradiwaMajiKikwajuni.UNDP wameahidikuchangiakiasi cha shilingimilioni 110 zakitanzaniakufanikishakukamilikakwamradihuokatikamaeneoyoteyajimbohilo.KulianiKatibuwataasisiisiyoyakiserikaliya TAYI inayosimamiamradihuo,Abdallah Ahmed Suleiman
MratibuwaUmojawaMataifanchininaMwakilishiwaShirika la Maendeleo la UmojawaMataifa (UNDP),Alvaro Rodriguez,akizungumzakatikamkutanonawananchiwaeneo la Kikwajuni Mao, alipowatembeleabaadayakukaguamaeneounakopitaMradiwaMajiKikwajuniambapoaliahidikutoakiasi cha shilingimilioni 110 kupitia UNDP kukamilishamradihuo
Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, visiwani Zanzibar, Mhandisi Hamad Masauni akizungumza kwenye mkutano na wananchi wa Jimbo lake la Kikwajuni katika eneo la viwanja vya Mao, katika mkutano huo aliongozana na Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP),Alvaro Rodriguez na Waziri  wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,Mhe.Salama Aboud Talib. UNDP wameahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni 110 za kitanzania kufanikisha Mradi wa maji katika jimbo hilo
Mkaazi wa Jimbo la Kikwajuni, Mohamed Seif Said, akijiandaa kumvisha zawadi ya kofia Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez baada ya kuzungumza na wananchi katika mkutano uliohusu Mradi wa Maji jimboni hapo ambapo UNDP waliahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni 110 ili mradi huo uweze kukamilika. Kulia Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe  Salama Aboud Talib.(Picha na Abubakari Akida)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.