Habari za Punde

Madaktari wa kichina waliopo hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba

 Timu mpya ya Madaktari wa Kichina ilipo  sasa hivi katika Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, Madaktari wa Kichina huja kwa kupokelezana na Madaktari wenzao kwa kipindi maalum.



PICHA NA HAMAD SHAPANDU -MAELEZO -PEMBA.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.