MRATIBU wa Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, Fatma Khamis Hemed, akifafanua jambo kabla ya kuanza mafunzo ya haki za binadamu kwa watoa huduma na watu wanaoishi wa Virusi vya Ukimwi, kutoka kisiwani Pemba, yaliofanyika Kituoni hapo mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WATOA huduma za afya na watu wanaoishi na
Virusi vya Ukimwi kutoka mikoa miwili ya Pemba, wakisiliza uwasilishaji wa mada
kadhaa, kwenye mafunzo ya haki za binadamu, yalioandaliwa na kufanyika Kituo
cha Huduma za Sheia Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment