Habari za Punde

Mzigo wa Ng'ombe ulipowasili Bandari ya Wesha


BAADHI ya wachukuzi wakiwashusha ng’ombe baharini katika bandari ya Wesha Mjini Chake Chake, baada ya Ng’ombe hao kuwasili bandarini hapo kama walivyokutwa na kamera ya Mwandishi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).  
 MCHUKUZI wa Ng’ombe akimuinga ng’ombe huyo baharini, baada ya kumshusha katika jahazi lililofunga gati katika bandari ya Wesha Wilaya ya Chake Chake Pemba, kama alivyokutwa na kamera ya mwandishi.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).
BAADHI ya Ng’ombe walioteremshwa katika jahazi lililofunga gati katika bahari ya Wesha Wilaya ya Chake Chake, wakiwa ufukweni baada ya kushusha wakizubiri mmiliki wa mzigo huo kuwachukuwa na kuwapeleka sehemu aliyokusudiwa.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA).

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.