Rais
wa Jamhuri Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na
Kulia kwa Mh Rais ni Balozi wa India Nchini Mhe Sandeep Arya,Kulia kwa Mh Rais
ni Waziri Maji Mhandisi Gerson Lwenge,akifuatiwa na Mke wa Rais Mama Janeth
Magufuli na Viongozi wengine wa Mkoa wa Tabora
wakikata utepe kuashiria Ufunguzi rasmi wa mradi wa Maji toka Ziwa Victoria
Kwenda Kwenye Mji wa Tabora,Igunga na Nzega.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli na Balozi wa
India Nchini Mhe Sandeep Arya,Wakiteta jambo mara baada ya Mh Rais Kuweka Jiwe
la Msingi na Ufunguzi rasmi wa mradi wa Maji toka Ziwa Victoria Kwenda Kwenye Miji
wa Tabora,Igunga na Nzega.
Rais wa Jamhuri Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipeana Mkono na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa Mara Baada ya Ufunguzi wa Ukarabati,Ujenzi na
Upanuzi wa Uwanja wa Ndege Tabora
Rais
wa Jamhuri Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph
Magufuli,akipata maelezo ya Mradi Ukarabati,Ujenzi na Upanuzi wa Uwanja wa
Ndege Tabora toka kwa Mhandisi wa Ujenzi wa Uwanja huo Mhandisi Neema Joseph
kushoto kwa Mh Rais ni Waziri wa Ujenzi na Mawasiliano Prof Makame Mbarawa
Rais wa Jamuhuri Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akikata utepe kwenye Ufunguzi wa Barabara
ya Tabora -Puge -Ngeza yenye Urefu wa
Kilometa 114.9 akiwa na Waziri wa Ujenzi
na Mawasiliano Prof Makame Mbarawa na Viongozi Wengine Wa Mkoa wa Tabora
Rais wa Jamuhuri Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwasalimia wananchi wakati wa ziara yake kwenye Ufunguzi wa Barabara
ya Tabora -Puge -Ngeza yenye Urefu wa
Kilometa 114.9 Mkoa wa Tabora.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment