Mshika fedha wa Mfuko wa Maendeleo na Elimu kwa Wanahabari Zanzibar ‘MMEWAZA’, Raya
Ahmada Mohamed, akifafanua namna mfuko huo, utakavyowasomesha wanachama wake,
kwenye mkutano uliofanyika Chuo cha Habari cha TSJ Kisiwani Pemba
Waandishi wa
habari kutoka vyombo mbali mbali kisiwani Pemba, walioshiriki mkutano wa
uwasilishaji wa taarifa za uanzishwaji wa Mfuko wa Maendeleo na Elimu kwa
Wanahabari Zanzibar ‘MMEWAZA’, uliofanyika Chuo cha Habari TSJ Kisiwani Pemba, (Picha na Is-haka Mohamed, Pemba).
No comments:
Post a Comment