GARI aina ya Rava4 yenye Namba Z308 CF, ikiwa
imepata ajali na kupinduka na kuingia katika maporomoko ya Melitano Wilaya ya
Chake Chake, ajali hiyo haikuweza kusababisha madhara kwa abiria waliokuwemo
ndani ya gari hiyo.(PICHA NA RAYA
AHMADA,ZBCTV –PEMBA)
Itaendelea Kuwahusisha Kikamilifu Kwenye Utekelezaji wa Miradi Mikubwa ya
Maendeleo kwa Kuzingatia Dhana ya Ushirikishwaji wa Wataalamu wa Kitanzania
Katika Miradi Endelevu ya Kimkakati -Dk.Hussein
-
*SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inathamini sana mchango wa **fani
za Wasanifu, Wahandisi na Wakadiriaji Zanzibar kwenye utekelezaji wa
mipango...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment