Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji, Thobias Andengenye, akimvisha cheo Kamishna wa Divisheni ya Operesheni
Billy Mwakatage,wakati wa hafla fupi ya kuapishwa iliyofanyika leo Makao Makuu
ya Jeshi, jijini Dar es Salaam
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji, Thobias Andengenye, akimvisha cheo Kamishna wa Divisheni ya Usalama
dhidi ya Moto, Jesuald Ikonkowakati wa hafla fupi ya kuapishwa iliyofanyika leo
Makao Makuu ya Jeshi, jijini Dar es Salaam
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na
Uokoaji, Thobias Andengenye, akimsikiliza Msemaji wa Jeshi hilo Mrakibu
Msaidizi Puyo Nzalayaimisi,akitoa utambulisho mfupi wa Makamishna wakati wa
hafla fupi ya kuapishwa iliyofanyika leo Makao Makuu ya Jeshi, jijini Dar es
Salaam.
Kamishna wa Divisheni ya Oparesheni wa Jeshi la
Zimamoto na Uokoaji, Billy Mwakatage, akila kiapo cha Utii mbele yaKamishna
Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye,wakati wa hafla
fupi ya kuapishwa iliyofanyika leo Makao Makuu ya Jeshi, jijini Dar es Salaam
Kamishna wa Divisheni ya Usalama dhidi ya Moto
wa Jeshi la Zimamoto na, Jesuald Ikonko, akila kiapo cha Utii mbele ya Kamishna
Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye, wakati wa hafla
fupi ya kuapishwa iliyofanyika leo Makao Makuu ya Jeshi, jijini Dar es Salaam
Kamishna Jenerali wa
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye(watatukulia), akiwa katika
picha na Kamishna wa Utawala na Fedha, Michael Shija (wapili kulia), Kamishna
wa Oparesheni Billy Mwakatage (kushoto) na Kamishna wa Usalama dhidi ya Moto,
Jesuald Ikonko (kulia) wakati wa hafla fupi ya kuapishwa iliyofanyika leo Makao
Makuu ya Jeshi, jijini Dar es Salaam. Picha na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji
No comments:
Post a Comment