Kijiko cha Baraza la Manispa Zanzibar kikiwa katika zoezi la kusafisha eneo la kijangwani Unguja ambalo linalotaka kujengwa kituo kikuu cha daladala kuishia hapo ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo la mji mkongwe.
Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa
Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2022/23 pamoja na Taarifa ya Utendaji
Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa mwaka
2022/2023, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment