Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la
Usalama Barabarani,Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Mhe.Hamad
Masauni, akipokea moja ya tisheti zitakazovaliwa Siku ya Tamasha la
Usalama Barabarani kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi na Mauzo wa Benki ya NMB, Ndg. Omari
Mtiga (kushoto), wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo,jijini Dar es Salaam. Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.
John Magufuli
MwenyekitiwaTaifawaBaraza
la UsalamaBarabarani,Naibu Waziri waWizaraya Mambo yaNdaniyaNchi,Mhandisi Hamad
Masauni,akipokeamojayatishetizitakazovaliwaSikuyaTamasha la UsalamaBarabaranikutokakwaMenejaMasokowaKampuniyaBakhresa,OmaryKuwe
(kushoto)wakatiwamakabidhianoyaliyofanyikakatikaUkumbiwaWizarahiyo,jijini Dar
es Salaam.MgeniRasmianatarajiwakuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania, Dkt.
John Magufuli
MwenyekitiwaTaifawaBaraza la
UsalamaBarabarani,Naibu Waziri waWizaraya Mambo yaNdaniyaNchi,Mhandisi Hamad
Masauni, akipokeamojayatishetizitakazovaliwaSikuyaTamasha la
UsalamaBarabaranikutokakwaMwakilishiwaKampuniya Bin Slum, wakatiwamakabidhianoyaliyofanyikakatikaUkumbiwaWizarahiyo,jijini
Dar es Salaam.MgeniRasmianatarajiwakuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania, Dkt.
John
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la
Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad
Masauni (kulia),
akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya kupokea vifaa kutoka Kampuni mbali mbali zilizojitokeza kudhamini Siku ya Tamasha
la Usalama Barabarani litakalofanyika Agosti 12 katika Uwanja wa Taifa,
ambapo Mgeni Rasmin anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John
Magufuli.Kulia ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Fortunatus Musilimu. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijin i
Dar es Salaam
Meneja Masoko wa Kampuni ya Bakhresa,
Omary Kuwe (kushoto) akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya kukabidhi vifaa kwa ajili ya udhamini wa Siku ya Tamasha
la Usalama Barabarani litakalofanyika Agosti 12 katika Uwanja wa Taifa,
ambapo Mgeni Rasmin anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John
Magufuli. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es
Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
No comments:
Post a Comment