Habari za Punde

Naibu Waziri Mhe. Masauni Apokea Vifaa Vya Tamasha la Usalama wa Barabarani Litakalofanyika Agosti 12,2017. Katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani,Naibu Waziri Wizara ya  Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Mhe.Hamad Masauni, akipokea moja ya tisheti zitakazovaliwa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi na Mauzo wa Benki ya NMB, Ndg. Omari Mtiga (kushoto), wakati wa makabidhiano yaliyofanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo,jijini  Dar es Salaam. Mgeni Rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli
  MwenyekitiwaTaifawaBaraza la UsalamaBarabarani,Naibu Waziri waWizaraya Mambo yaNdaniyaNchi,Mhandisi Hamad Masauni,akipokeamojayatishetizitakazovaliwaSikuyaTamasha la UsalamaBarabaranikutokakwaMenejaMasokowaKampuniyaBakhresa,OmaryKuwe (kushoto)wakatiwamakabidhianoyaliyofanyikakatikaUkumbiwaWizarahiyo,jijini Dar es Salaam.MgeniRasmianatarajiwakuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania, Dkt. John Magufuli
 MwenyekitiwaTaifawaBaraza la UsalamaBarabarani,Naibu Waziri waWizaraya Mambo yaNdaniyaNchi,Mhandisi Hamad Masauni, akipokeamojayatishetizitakazovaliwaSikuyaTamasha la UsalamaBarabaranikutokakwaMwakilishiwaKampuniya Bin Slum, wakatiwamakabidhianoyaliyofanyikakatikaUkumbiwaWizarahiyo,jijini Dar es Salaam.MgeniRasmianatarajiwakuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania, Dkt. John 
Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Usalama Barabarani, Naibu Waziri wa Wizara ya  Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni (kulia), akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya kupokea vifaa kutoka Kampuni mbali mbali zilizojitokeza kudhamini Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani litakalofanyika Agosti 12 katika Uwanja wa Taifa, ambapo Mgeni Rasmin anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli.Kulia ni Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Fortunatus Musilimu. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijin i Dar es Salaam
Meneja Masoko wa Kampuni ya Bakhresa, Omary Kuwe (kushoto) akizungumza na Vyombo vya Habari baada ya kukabidhi vifaa kwa ajili ya udhamini wa Siku ya Tamasha la Usalama Barabarani litakalofanyika Agosti 12 katika Uwanja wa Taifa, ambapo Mgeni Rasmin anatarajiwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli. Makabidhiano hayo yamefanyika katika Ukumbi wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi


IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.