Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Benedict Mashiba
kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi,
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu
wa Rais Samia Suluhu Hassan katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini
Malawi Benedict Mashiba mara baada ya tukio la uapisho Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati
za utambulisho kutoka kwa Balozi wa Vietnam hapa nchini Nguyeni Kim Doahn,
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na
Balozi wa Vietnam hapa nchini Nguyeni Kim Doahn mara baada ya kumaliza
mazungumzo pamoja na kupokea Hati za Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho
kutoka kwa Balozi wa Indonesia hapa nchini Prof. Ratlan Pardede, Ikulu jijini
Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja
na Balozi wa Indonesia hapa nchini Prof. Ratlan Pardede, Ikulu jijini Dar es
Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati
za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Vatican hapa nchini Mwadhama Askofu Mkuu
Marek Solcynski, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru
Balozi wa Vatican hapa nchini Mwadhama Askofu Mkuu Marek Solcynski mara baada
ya kupokea Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini.
Balozi wa Ujerumani
hapa nchini Dkt. Detlef Wachter
akijitambulisha kabla ya kuwasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar
es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za utambulisho kutoka
kwa Balozi wa Uganda hapa nchini Richard Tumisiime Kabonero Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya
pamoja na Brass Bendi ya Jeshi la Polisi Ikulu jijini Dar es Salaam. Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment