Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akichukua Tiketi
zake pamoja na chenchi mara baada ya kulipia huduma ya Kivuko wakati akielekea
katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu
Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana pamoja na kuzungumza na
abiria mbalimbali wakati akisubiri kuvuka kwa kutumia usafiri wa Pantoni kuelekea
katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu
Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana pamoja na kuzungumza na
abiria mbalimbali wakati akisubiri kuvuka kwa kutumia usafiri wa Pantoni kuelekea
katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu
Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza
Yusuph Ndemango ambaye ni mlemavu wakati alipomkuta ndani ya jengo la abiria
lililopo upande wa Magogoni kabla ya kuvuka na Pantoni kuelekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza
Yusuph Ndemango ambaye ni mlemavu wakati alipomkuta ndani ya jengo la abiria
lililopo upande wa Magogoni kabla ya kuvuka na Pantoni kuelekea katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiingia katika kivuko cha MV Kigamboni
pamoja na abiria wengine wakati akivuka
kuelekea upande wa pili wa Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili
upande wa Kigamboni mara baada ya kushuka pamoja na abiria wengine kwenye
pantoni la MV Kigamboni.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili
upande wa Kigamboni mara baada ya kushuka pamoja na abiria wengine kwenye
pantoni la MV Kigamboni.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana
na Mama mmoja mara baada ya kuvuka upande wa Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akinunua
chapati mara baada ya kuvuka upande wa Kigamboni wakati wa asubuhi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Kigamboni mara
baada ya kuvuka kwa kutumia usafiri wa Pantoni wakati katika Chuo cha
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika
picha ya pamoja na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Minazini Kigamboni jijini
Dar es Salaam
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiimba pamoja na
wanachama wa CCM waliopo katika kambi ya mafunzo ya vijana iliyoandaliwa na
Umoja wa vijana wa vyuo na Vyuo vikuu(CCM) katika Chuo cha Kumbukumbu ya
Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Wanachama hao wakiimba mara baada ya
Mwenyekiti wa CCM Taifa kuwasili ukumbini hapo.
Mwenyekiti
wa CCM Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe
Magufuli akizungumza na wanachama wa CCM waliopo katika kambi ya mafunzo ya
vijana iliyoandaliwa na Umoja wa vijana wa vyuo na Vyuo vikuu(CCM) katika
ukumbi wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Picha na Ikulu
No comments:
Post a Comment