Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni
wake Rais wa Uganda Yoweri Musevi mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Tanga
kwa ajili ya uwekaji wa jiwe la Msingi la ujenzi wa mradi mkubwa wa usafirishaji wa Mafuta ghafi kutoka
Hoima nchini Uganda mpaka katika bandari ya Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Rais wa
Uganda Yoweri Musevi mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Rais wa
Uganda Yoweri Musevi mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Tanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake wakati akielekea kwenye
Dhifa ya kitaifa aliyomwandalia Rais wa Uganda Yoweri Musevi katika Ikulu ya
Tanga. Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment