Wafanyakazi wa Benki ya Watu wa Zanzibar wakishiriki katika Bonaza la Wafanyakazi lililofanyika katika ufukwe wa Hoteli ya Visiter Inn Jambiani kwa kushirikisha michezo mbalimbali katika ufukwe huo.
Rais Samia apokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
(CAG) na Taarifa ya Utendaji Kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa (TAKUKURU) leo
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka
2022/2...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment