Viongozi wa Dini Zanzibar wakifuatilia michango ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakati wakichangia Mswada wa Mahakama ya Kadhi Zanzibar uliosomwa kwa mara ya pili na kuchangiwa kuwa Sheria, wa kwanza Kadhi Dhamana wa Mahakama ya Kadhi Mwanakwerekwe Unguja Sheikh Othman Ame , Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Katiba Sheria na Utawala Bora Simba Kubingwa.
BARAZA LA WAFANYAKAZI SIRI YA UTENDAJI BORA
-
Baraza la Wafanyakazi la Sita la TMDA limefanyika kwa ufanisi tarehe 5-6
Februari, 2026 katika Manispaa ya Morogoro, kwa kuwakutanisha wajumbe wa
Menejim...
3 minutes ago
0 Comments