Viongozi wa Dini Zanzibar wakifuatilia michango ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakati wakichangia Mswada wa Mahakama ya Kadhi Zanzibar uliosomwa kwa mara ya pili na kuchangiwa kuwa Sheria, wa kwanza Kadhi Dhamana wa Mahakama ya Kadhi Mwanakwerekwe Unguja Sheikh Othman Ame , Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Katiba Sheria na Utawala Bora Simba Kubingwa.
BARRICK - TWIGA YAPONGEZWA KUWA KIELELEZO CHA UBIA WENYE MAFANIKIO NCHINI
-
Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango na ujumbe wake wakipata maelezo ya
utendaji kutoka kwa Meneja wa Barrick nchini, Dk. Melkiory Ngido kushoto
kwake ni Mwen...
33 minutes ago
No comments:
Post a Comment