Viongozi wa Dini Zanzibar wakifuatilia michango ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakati wakichangia Mswada wa Mahakama ya Kadhi Zanzibar uliosomwa kwa mara ya pili na kuchangiwa kuwa Sheria, wa kwanza Kadhi Dhamana wa Mahakama ya Kadhi Mwanakwerekwe Unguja Sheikh Othman Ame , Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Katiba Sheria na Utawala Bora Simba Kubingwa.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment