Viongozi wa Dini Zanzibar wakifuatilia michango ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakati wakichangia Mswada wa Mahakama ya Kadhi Zanzibar uliosomwa kwa mara ya pili na kuchangiwa kuwa Sheria, wa kwanza Kadhi Dhamana wa Mahakama ya Kadhi Mwanakwerekwe Unguja Sheikh Othman Ame , Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Katiba Sheria na Utawala Bora Simba Kubingwa.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi Amemuapisha Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman
Abdulla Ikulu Zanzibar
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali Mwinyi, amemuapisha Mhe. Hemed Suleiman Abdulla kuwa Makamu wa Pili wa
Rais ...
41 minutes ago

No comments:
Post a Comment