Wanafunzi waliosoma Chuo cha Marehemu Abdallah Chum Jangombe wakisoma dua kumuombea mwalimu wao na wanafunzi waliosoma chuo hicho wakisoma hitma kuwarahimu iliofanyika katika maeneo viwanja vya chuo hicho. Dua hiyo imehitimishwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar ni mmoja wa wanafunzi wa marehemu Sheikh Khamis Haji Khamis.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment