Wanafunzi waliosoma Chuo cha Marehemu Abdallah Chum Jangombe wakisoma dua kumuombea mwalimu wao na wanafunzi waliosoma chuo hicho wakisoma hitma kuwarahimu iliofanyika katika maeneo viwanja vya chuo hicho. Dua hiyo imehitimishwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar ni mmoja wa wanafunzi wa marehemu Sheikh Khamis Haji Khamis.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa
Amrepokea Tuzo ya Kuendeleza Ufugaji Nyuki Nchini. Watanzania Tuendelee
Kumtunza Mdudu Nyuki
-
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizundua Mpango wa Kuendeleza Sekta ya
Ufugaji Nyuki kwa Tanzania iliyo Bora katika Maadhimisho ya Siku ya Nyuki
Duniani kw...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment