Wanafunzi waliosoma Chuo cha Marehemu Abdallah Chum Jangombe wakisoma dua kumuombea mwalimu wao na wanafunzi waliosoma chuo hicho wakisoma hitma kuwarahimu iliofanyika katika maeneo viwanja vya chuo hicho. Dua hiyo imehitimishwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar ni mmoja wa wanafunzi wa marehemu Sheikh Khamis Haji Khamis.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi
Mgeni Rasmin Maadhimisho Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi
2025 Viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja
-
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi
Dunia M...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment