Askari wa kikosi cha Usalama Barabarani CPL Juma Selemani, akitoa elimu katika Shule
ya Msingi Custom iliyopo wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro katika maadhimisho ya
wiki ya nenda kwa usalama Barabarani.
Askari wa kikosi cha Usalama Barabarani PC Ndugunamiti, akiwa na Juma Abdallah
mwanafunzi wa Shule ya msingi Majengo wilayani Same Mkoani Kilimanjaro alipokuwa
akichangia mada iliyokuwa ikitolea shuleni hapo katika maadhimisho ya wiki ya
nenda kwa usalama Barabarani.
1. Mkaguzi wa kikosi cha Usalama Barabarani wilayani Moshi Mshangama
Nyangasa, akitoa elimu katika shule ya msingi Majengo iliyopo mkoani Kilimanjaro katika maadhimisho ya wiki
ya nenda kwa usalama Barabarani.
No comments:
Post a Comment