Mkuu wa Jeshi la Polisi
Nchini (IGP) Simon Sirro, akisalimiana na maafisa wa Polisi alipowasili katika
mkoa wa Mtwara, leo kwa ziara ya siku moja ya kikazi yenye lengo la kuzumgumza
na askari pamoja na kuwakumbusha wajibu wao wa kutenda haki wakati
wanapotekeleza majukumu ya kazi za Polisi.
Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro (kushoto), akimsikiliza Kmamanda wa
Polisi mkoa wa Mtwara, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Lucas Mkondya, leo kwa
ziara ya kikazi ya siku moja yenye lengo la kuzumgumza na askari pamoja na
kuwakumbusha wajibu wao wa kutenda haki wakati wanapotekeleza majukumu ya kazi
za Polisi. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi
Nchini (IGP) Simon Sirro, akizungumza na waandishi wa habari nje ya Makao Makuu
ya Polisi mkoa wa Mtwara, akiwa kwenye ziara ya kikazi mkoani humo yenye lengo
la kuzumgumza na askari pamoja na kuwakumbusha wajibu wao wa kutenda haki
wakati wanapotekeleza majukumu ya kazi za Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi
Nchini (IGP) Simon Sirro, akipokea salamu ya heshima ya kijeshi alipowasili
mkoa wa Mtwara kwa ziara ya kikazi ya siku moja yenye lengo la kuzumgumza na
askari pamoja na kuwakumbusha wajibu wao wa kutenda haki wakati wanapotekeleza
majukumu ya kazi za Polisi.
Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro, akizungumza na askari wa Kikosi cha
Kutuliza Ghasia mkoa wa Mtwara, mara baada ya kukagua gwaride maalum
lililoandaliwa kwa ajili yake. IGP Sirro, yupo mkani humo kwa ziara ya kikazi
ya siku moja yenye lengo la kuzumgumza na askari pamoja na kuwakumbusha wajibu
wao wa kutenda haki wakati wanapotekeleza majukumu ya kazi za Polisi. Picha na Jeshi la Polisi.
No comments:
Post a Comment