KIONGOZI wa
mbio za mwenge wa uhuru Amour Ahmad Amour, akimpa mtoto Radhiya Said Mussa tone
la vitamin “A” mara baada ya kukifungua kituo cha afya daraja la pili cha Pujini
wilaya ya Chakechake, mara baada ya kukifungua kituo hicho, ikiwa ni sehemu ya shamra
shamra za mwenge huo wilayanyani humo
KIONGOZI wa
mbio za mwenge wa uhuru Amour Ahmad Amour (kushoto), akiwa katika zoezi la kugawa
vyandarua wakati wa hafla ya shamrashamra za mbio za mwenge kisiwani Pemba, Afisa wa
Afya wilaya ya Chakechake, Kombo Omar Abdalla (mwenye vyandarua)
MSOMA
risala ya ujenzi wa nyumba bora, Harith Bakar Nassor, mbele ya kiongozi wa mbio
za mwenge wa uhuru Amour Ahmad Amour, kabla ya nyumba hiyo iliopo Matuleni
kuiwekea jiwe la msingi, kwenye shamra shamra za mwenge huo wilaya ya
Chakechake
NYUMBA ya
familia Asumini Hamad Said, iliopo Matuleni wilaya ya Chakechake, ambayo jana
imewekewa jiwe la msingi na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru, Amour Ahmad
Amour, ikiwa ni sehemu ya shamra shamra ya mwenge huo, wilayni humo
KIONGOZI wa
mbio za mwenge wa uhuru Amour Ahmad Amour, akiondoa kitambaa kuashiria kuiwekea
jiwe la msingi, nyumba bora ya familia Asumini Hamad Said, iliopo Matuleni
wilaya ya Chakechake, kwenye shamra shamra za mwenge huo wilayanyani humo
KIONGOZI wa
mbio za mwenge wa uhuru Amour Ahmad Amour, akiondoa kitambaa kuashiria
kukifungua kituo cha afya cha daraja la pili, kiliopo Pujini wilaya ya
Chakechake, kwenye shamra shamra za
mwenge huo wilayani humo.
(Picha na Haji
Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment