Gari ikiwa imeacha njia na kupanda juu ya kidaraja kidogo ,katika krosi ya Fuoni mskiti wa waarabu njia ya chunga asubuhi leo. Katika ajali hii hamna mtu alipoteza maisha
Kuhitimisha zaiara zake za kuwatembelea wagonjwa katika mikoa yote unguja
na pemba
-
Na.Mwandishi OMWR.
Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo Mhe. Othman Masoud Othman, amesema
kwamba amewataka viongozi wa chama hicho katika ngazi mbali...
15 minutes ago
No comments:
Post a Comment