Gari ikiwa imeacha njia na kupanda juu ya kidaraja kidogo ,katika krosi ya Fuoni mskiti wa waarabu njia ya chunga asubuhi leo. Katika ajali hii hamna mtu alipoteza maisha
TUME YA HAKI ZA BINADAMU (THBUB) YAWATAKA WANASIASA KUWEKA MBELE MASLAHI YA
WATU
-
KAMISHNA wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ofisi ya
Zanzibar, Mhe. Khatib Mwinyichande, amewasihi wanasiasa kuzingatia zaidi na
kuweka...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment