Gari ikiwa imeacha njia na kupanda juu ya kidaraja kidogo ,katika krosi ya Fuoni mskiti wa waarabu njia ya chunga asubuhi leo. Katika ajali hii hamna mtu alipoteza maisha
MAJALIWA AWASILI SHELISHELI KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA UAPISHO WA RAIS
MTEULE DKT. PATRICK
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2025 amewasili Seychelles kwa
ajili ya kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye uapisho wa Rais
mteule ...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment