Gari ikiwa imeacha njia na kupanda juu ya kidaraja kidogo ,katika krosi ya Fuoni mskiti wa waarabu njia ya chunga asubuhi leo. Katika ajali hii hamna mtu alipoteza maisha
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment