WANAFUNZI wa mwaka wa kwanza na wa mwaka wa
pil,i wa skuli ya Maandalizi ya Star iliopo Kichungwani wilaya ya Chakechake
Pemba, wakifuatilia hafla ya siku ya wazazi, iliofanyika uwanja wa Tenis, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAZAZI na walezi wa watoto wanaosoma skuli
ya Maandalizi ya Star, iliopo Kichungwani wilaya ya Chakechake, ambao
walihudhuria siku ya wazazi, iliofanyika uwanja wa Tenis mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WAZAZI na walezi wa watoto wanaosoma skuli
ya Maandalizi ya Star, iliopo Kichungwani wilaya ya Chakechake, ambao
walihudhuria siku ya wazazi, iliofanyika uwanja wa Tenis mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MWALIMU wa Maandalizi ya star wilaya ya
Chakechake kisiwani Pemba, Hawa Abdalla, akizungumza kwenye hafla ya sherehe ya
siku ya wazazi, iliofanyika uwanja wa Tenis, sambamba na mahafali ya watoto
wanaomaliza elimu ya maandalizi skuli kwake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WANAFUNZI wa skuli ya Maandalizi ya Star, wakiingia
uwanjani, kwa wimbo wa makaribisho, kwenye hafla ya siku ya wazazi, iliofanyika
uwanja wa Tensi mjini Chakechake, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
WANAFUNZI wa mwaka wa kwanza na wa mwaka wa pil,i wa skuli ya Maandalizi ya Star iliopo Kichungwani wilaya ya Chakechake Pemba, wakifuatilia hafla ya siku ya wazazi, iliofanyika uwanja wa Tenis, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WANAFUNZI na skuli ya Maandalizi ya Star, iliopo
Kichungwani wilaya ya Chakechake, wakionyesha ngonjera ya umuhimu wa
kutanguliza jina la Muumba, katika kila jambo, kwenye hafla ya siku ya wazazi, iliofanyika
uwanja wa Tenis mjini Chakechake, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
WANAFUNZ wa skuli ya Maandalizi ya
star wilaya ya Chakechake kisiwani Pemba, wakiwa kwenye tamthilia ya umuhimu wa
kusoma hadithi, ikiwa ni sehemu ya hafla ya sherehe ya siku ya wazazi,
iliofanyika uwanja wa Tenis, sambamba na mahafali ya watoto wanaomaliza elimu
yao ya maandalizi skulini hapo, (Picha
na Haji Nassor, Pemba).
WANAFUNZI wa skuli ya Maandalizi ya
Star, wakiwa kwenye mchezo maalum wa kupasua mabofu kwa kutumia mgongo, kwenye
hafla ya siku ya wazazi, iliofanyika uwanja wa Tensi mjini Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
WANAFUNZI wa skuli ya Maandalizi ya Star iliopo
Kichungwani, wilaya ya Chakechake, wakilishana matunda wakiwa wamezibwa macho,
ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za siku ya wazazi, iliofanyika uwanja wa Tenis
Chakechake, (Picha na Haji Nassor, Pemba
WANAFUNZI wa skuli ya Maandalizi ya Star iliopo
Kichungwani, wilaya ya Chakechake, wakionyesha umahiri wao, wa mchezo wa kamba,
ikiwa ni sehemu ya shamra shamra za siku ya wazazi, iliofanyika uwanja wa Tenis
Chakechake, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
No comments:
Post a Comment