Watalii wanaofika kutembelea Zanzibar hupata fursa za kutembelea katika maeneo mbalimbali ya historia ya Zanzibar katika maeneo mbalimbali ya Visiwa hivi kama walivyokutwa Watalii hawa wakiwa katika maeneo ya mji mkongwe wa Unguja katika mitaa ya shangani wakipiga picha kwa ajili ya kumbukumbu jengo la Marcury shangani.
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment