MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar pia ni Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja, Ramadhani Abdallah
Ali, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Coconut Marumbi
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mjumbe wa Kamati
Kuu ya CCM pia Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Samia Suluhu Hassan, alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Coconut
Marumbi kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja
MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM pia Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu wa CCM Mkoa wa
Kusini Unguja Bi. Sauda Mpambalioto alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya
Coconut Marumbi kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, (katikati) akiwa na Naibu Katibu
Mkuu wa CCM Zanzibar Abdallah Juma Sadala kushoto na kulia Mwenyekiti wa CCM
Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhani Abdallah Ali, wakielekea ukumbi wa mkutano
katika hoteli ya Coconut marumbi Unguja
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiingia katika ukumbi wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja kufungua mkutano huo na kuchagua Viongozi wa Mkoa, uliofanyika katika Hoteli ya Coconut Marumbi Wilaya ya Kusini Unguja.
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi
wa CCM baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa Kusini
Unguja, kwa ajili ya ufunguzi wake kulia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Abdallah
Juma, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Msimamizi wa Uchaguzi huo Profesa Makame
Mbarawa na kulia Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhani Abdallah Ali
na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM pia ni Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa Taarifa ya Utendaji
ya CCM Mkoa wa Kusini Unguja, kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini
Unguja Ramadhani Abdallah Ali, wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi
wa hoteli ya Coconut Marumbi Unguja kulia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Juma Abdallah Mabodi.
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja wakihudhuria hafla hiyo katika Ukumbi wa Hoteli ya Coconut Marumbi.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiagalia taarifa za Utekelezaji wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja baada ya kukabidhiwa kushoto Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhani Abdalla Ali na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM pia ni Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Nyenzo za utendaji
Kazi za CCM Mwenyekiti wa CCM Jimbo la Chwaka Mwalimu Mussa Jecha, wakati wa
mkutano huo, kushoto Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Ramadhani Abdallah
Ali na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM pia ni Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Abdallah Juma Mabodi akizungumza kabla
ya kumkaribisha mgeri rasmin Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, kufungua
Mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa coconut marumbi Unguja
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa ufunguzi wa
Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja uliofanyika katika ukumbi wa hoteli
ya Coconut Marumbi Wilaya ya Kusini Unguja
MSIMAMIZI Mkuu wa Mkutano Mkuu wa Uchaguzi Mkoa wa Kusini Unguja Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM Profesa Makame Mbarawa akizungumza wakati wa zoezi la
kupiga kura likiaza katika ukumbi wa hoteli ya Coconut Marumbi Unguja
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Abdallah Juma Mabodi akizungumza na
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein, wakati wa hafla ya
Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akipiga kura yake kuwachagua
Viongozi wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika
Ukumbi wa Hoteli ya Marumbi Wilaya ya Kusini Unguja
MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM pia ni Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipiga kura yake kuwachagua
Viongozi wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja wakati wa Mkutano Mkuu uliofanyika katika
ukumbi wa hoteli ya coconut marumbi Wilaya ya Kusini Unguja
Baadhi ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia Mkutano huo katika ukumbi wa hoteli ya Coconut Marumbi Wilaya ya Kusini Unguja.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akiwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM pia ni Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, wakitoka katika viwanja vya Hoteli ya Coconut Mrumbi baada ya kupiga kura zao na ufunguzi wa Mkutano huo Mkuu wote wakiwa Wajumbe.
No comments:
Post a Comment