Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes Hemed Suleiman Maroco akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Omar Hassan King wakiwasili katika viwanja vya Ikulu Zanzibar kuhudhuria Chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, kuipongeza Timu hiyo kwa hatua iliofikia katika michuano ya Kombe la Chalenji Nchini Kenya yaliomalizika wiki iliopita. kwa kufungwa katika mchezo wa Fainali na Timu ya Kenya kwa matruta 3-2.
REA YASAMBAZA MITUNGI NA MAJIKO YA GESI KWA WATUMISHI WA GEREZA LA UKONGA
DAR ES SALAAM
-
-REA kuendela kuwajengea uwezo Magereza uendelezaji Miradi ya Nishati Safi
-Mhe. Balozi Radhia Msuya amewahamasisha Maafisa na Watumishi wa Magereza
kuwa M...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment