Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Zanzibar Heroes Hemed Suleiman Maroco akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Omar Hassan King wakiwasili katika viwanja vya Ikulu Zanzibar kuhudhuria Chakula cha mchana kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, kuipongeza Timu hiyo kwa hatua iliofikia katika michuano ya Kombe la Chalenji Nchini Kenya yaliomalizika wiki iliopita. kwa kufungwa katika mchezo wa Fainali na Timu ya Kenya kwa matruta 3-2.
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno ya Tembo, katika operesheni iliyoshirikisha
askari ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment