Habari za Punde

ZANTEL Yatoa Elimu na Huduma Katika Soko la Darajani Mjini Zanzibar.

Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Sherif El-Barbary (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Zantel-Zanzibar, Mohamed Mussa Baucha wakati wa kampeni ya kutoa elimu na usajili wa wateja iliyofanyika hivi karibuni katika soko la Darajani lililopo Stone Town, mjini Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Sherif El-Barbary (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Zantel-Zanzibar, Mohamed Mussa Baucha wakati wa kampeni ya kutoa elimu na usajili wa wateja iliyofanyika hivi karibuni katika soko la Darajani lililopo Stone Town, mjini Zanzibar.
Baadhi ya wauzaji wa huduma na bidhaa za Zantel wakitoa elimu na kufanya usajili wa wateja wapya wakati wa kampeni ya elimu na usajili wa wateja iliyofanyika hivi karibuni katika soko la Darajani lililopo Stone Town, mjini Zanzibar.
Baadhi ya wauzaji wa huduma na bidhaa za Zantel wakitoa elimu na kufanya usajili wa wateja wapya wakati wa kampeni ya elimu na usajili wa wateja iliyofanyika hivi karibuni katika soko la Darajani lililopo Stone Town, mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.