MWANDISHI wa habari wa
ZBC Raya Ahmada, akizungumza na mjumbe wa Sheha wa Shehia ya Mtambwe
Kusinii Wilaya Wete, kuhusiana na ujio wa umeme wa jua katika kisiwa hicho.(PICHA NA
SAID ABDULRAHMAN,PEMBA)
WANANCHI
mbali mbali wa kisiwa cha Kokota Wilaya ya Wete, wakifuatilia kwa makani maelezo juu ya utafiti
wa uwekaji nishati ya umeme wa Jua katika kisiwa hicho, kutoka Afisa Mdhamini
Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Juma Bakar Alawi(JB).(PICHA NA SAID ABDULRAHMAN,PEMBA)
MENEJA
Sera na Mipango kutoka shirika la Umeme Zanzibar (ZECO), Maulid Shirazi
akiwaonyesha wataalamu kutoka kampuni ya multiconsult ya nchini Norway,
eneo ambalo linatarajiwa kuwekewa vifaa vya Nishati mbadala ya Umeme wa Jua.(PICHA NA SAID ABDULRAHMAN,PEMBA)
AFISA
Mdhamini Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazangira Pemba, Juma Bakari Alawi
(JB) akizungumza na wananchi wa njau Wilaya ya Wete, juu ya mikakati ya
Serikali kupeleka Umeme wa Jua katika Visiwa Vidogo vidogo Pemba.(PICHA NA SAID ABDULRAHMAN,PEMBA)
No comments:
Post a Comment