Habari za Punde

Kikao cha siku mbili kwa wadau juu ya suala zima la huduma ya nishati madala chafanyika Chakechake Pemba

 Afisa Mdhamini Wizara ya Ardhi, Maji na Nishati na Mazingira Pemba, Juma Bakari Awali akifungua kikao cha siku mbili kwa wadau juu ya suala zima la huma ya nishati madala, kikao kilicho mjini chake chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
  Afisa Mdhamini Wizara ya Ardhi, Maji na Nishati na Mazingira Pemba, Juma Bakari Awali akifungua kikao cha siku mbili kwa wadau juu ya suala zima la huduma ya nishati madala, kikao kilichofanyika mjini chake chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WASHIRIKI mbali mbali wa kikao juu ya suala zima la umeme wa nishati mabadala Kisiwani Pemba, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watendaji wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na mazingira Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MKUFUNZI wa Mafunzo ya nishati mbala injinia Mathew Matimbwi, akiwasilisha mada mbali mbali juu ya masuala ya nishati mbadala, kilichafanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WADAU mbali mbali kutoka taasisi za serikali na mahoteli, wakifuatilia kwa makini mada mbali mbali juu ya matumizi ya nishati mbadala, kikao kilichofanyika mjini chake chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)        

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.