Chuo kikuu cha Sumait kinawatangazia
wanafunzi wote waliomaliza masomo yao ya kidatu cha nne mwaka 2017 kwamba
wanaanzisha advance school yaani kidatu
cha tano mwaka huu.
Masomo yataanza rasmi mwezi
wa nne hapo hapo Chukwani Campus.
Sifa za kujiunga ni division
1, 2 na 3 science na arts subject.
Kwa maelezo zaidi fika
Sumait University iliyopo Chukwani. Pia
tunakaribisha maombi ya kazi kwa walimu wenye uwezo wa kufundisha advance level
kwa masomo yote.
Sifa za muombaji
1. Angalau awe na degree
moja na kuendelea ya masomo husika, GPA
not less than 3.5. Division one ya form
4 na 6.
2. Uzoefu usipungue
miaka mitano.
Pia chuo kinakaribisha maombi ya kufundisha Cheti
na Diploma kwa course zifuatazo.
1. Accountancy,
2. Public administration,
3. Archive and Record
management,
4. Community
development,
5. Procurement and supply,
6. Computing information and
communication technology.
Shukran
No comments:
Post a Comment