Waziri wa Michezo Vijana Utamaduni na Sanaa Zanzibar Mhe. Balozi Ali Abeid Karume akiwasilisha Hutuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar katika Mkutano wa Kumi Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar, kwa ajili kuchangiwa na kupitisha Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa Fedha 2018/2019.
Vodacom na Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Dar Es Salaam waadhimisha Usiku wa
Tuzo za wachezaji.
-
Vodacom Tanzania PLC kwa kushirikiana na Chama cha Mpira wa Kikapu Dar es
Salaam (BDL) waliandaa hafla ya tuzo maalum jijini Dar es Salaam, ikiwa ni
k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment