Waziri wa Michezo Vijana Utamaduni na Sanaa Zanzibar Mhe. Balozi Ali Abeid Karume akiwasilisha Hutuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar katika Mkutano wa Kumi Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar, kwa ajili kuchangiwa na kupitisha Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa Fedha 2018/2019.
MAKAMU WA RAIS AWASILI NCHINI KONGO KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa N’djili,
Kinshasa, J...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment