Habari za Punde

Kutoka Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Waziri wa Michezo Vijana Utamaduni na Sanaa Mhe. Balozi Ali Karume Awasilisha Hutuba ya Bajeti ya Wizara Yake.Kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019.

Waziri wa Michezo Vijana Utamaduni na Sanaa Zanzibar Mhe. Balozi Ali Abeid Karume akiwasilisha Hutuba ya Bajeti ya Wizara yake kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Zanzibar katika Mkutano wa Kumi Baraza la Tisa la Wawakilishi Zanzibar, kwa ajili kuchangiwa na kupitisha Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa Fedha 2018/2019. 


















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.