WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma
kulia Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya DTB Ndg. Viju Cherian wakikata utepe kuashiria
uzinduzi wa bustani ya katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi
Unguja Vuga, kushoto Meya wa Manispa ya Zanzibar Ndg. Abdulrahaman Khatib
Abdurahaman
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Mhe.Talib Ali na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya DTB Tanzania Mr. Viju Cherian wakipiga makofi baada ya Uzinduzi na makabidhiano ya Bustani ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi iliofunguliwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar. Mhe. Riziki Pembe Juma.
Mkuu wa Maoko wa Benki ya TDB Sylvester Bahati akizungumza baada ya uzinduzi huo wa bustani wakati wa makabidhiano hayo yaliofanyika katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Vuga Unguja.
No comments:
Post a Comment