Kama wewe ni mzalendo wa kweli ni wakati wako sasa wa kuipigia kura na kuiwezesha bendi pendwa ya Ngoma Africa Band alimaarufu kwa majina kama FFU-Ughaibuni au "Viumbe wa Ajabu Anunnaki aliens " ambao kwa mara nyingine wameteuliwa kugombea TUZO ya kimataifa barani ulaya,mnaombwa kuiwezesha na kuipigia kura bendi hiyo kwa kubofya link hii chini alafu piga kura kwa kugonga Ngoma Africa band,
0 Comments