Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais katika Utekelezaji mpango kazi kwa kwa kipindi cha Julai-Juni kwa mwaka wa fedha 2017-2018 uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee (wa pili kulia) alipokuwa akichangia katika mkutano wa Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais katika Utekelezaji mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Juni kwa mwaka wa fedha 2017-2018 uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais katika Utekelezaji mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Juni kwa mwaka wa fedha 2017-2018 uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Naibu Waziri katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mihayo Juma N'hunga alipokuwa akichangia katika mkutano wa Uongozi wa Wizara hiyo wa Utekelezaji mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Juni kwa mwaka wa fedha 2017-2018 uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar (katikati) Waizi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohamed Aboud Muhamed na Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abduhamid Yahya Mzee
Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Nd, Raya Issa Mselem alipokuwa akichangia katika mkutano wa Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais katika Utekelezaji mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Juni kwa mwaka wa fedha 2017-2018 uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) akiwepo na Naibu Waziri katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mihayo Juma N'hunga
Mkurugenzi wa Idara ya Watu Wenye Ulemavu Abeda Rashid Abdalla alipokuwa akitoa maelezo kuhusu idara yake katika Mkutano wa Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais katika Utekelezaji mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Juni kwa mwaka wa fedha 2017-2018 uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar
Viongozi mbali mbali katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wakiwa katika kikao cha Utekelezaji mpango kazi kwa kipindi cha Julai-Juni kwa mwaka wa fedha 2017-2018 uliofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) ,[Picha na Ikulu.] 02/07/2018.
No comments:
Post a Comment