Msanii wa Fani ya Uchoraji wa picha Zanzibar Ndg. Yahya Mzee akiwa katika kazi hiyo kama alivyokutwa na mpiga picha wa Mtandaa huu wakati wa usiku katika viwanja vya Ngome Konge Zanzibar akiwa kazi akichora picha kwa kutumia simu yake kumurikia na kuangalizia picha ya Rais Mstaaf wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete, akimalizia kuchura picha hiyo ikiwa na Watu watatu walioinua vipaji kwa Vijana katika Tasnia ya Sanaa ya Uchoraji wakiwemo Dkt. Mhando aliyekuwa CEO wa Ziff na Dkt Aida kutoka Nchini marekani aliyetowa elimu ya uchoraji kwa kutumia rangi za maji.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment