Mwenyekiti
wa chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John
Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na wajumbe wengine wa Kamati Kuu (CC)
ya CCM mara baada ya kuwasili ukumbini
kwa ajili ya kuongoza Kikao hicho kilichofanyika katika Ofisi ndogo za
chama hicho Lumumba Jijini Dar es
salaam.
Mwenyekiti
wa chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John
Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na wajumbe wengine wa Kamati Kuu (CC)
ya CCM mara baada ya kuwasili ukumbini
kwa ajili ya kuongoza Kikao hicho kilichofanyika katika Ofisi ndogo za
chama hicho Lumumba Jijini Dar es
salaam.
Mwenyekiti wa chama
cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiongoza Kikao cha Kamati Kuu
(CC) ya CCM kilichofanyika katika Ofisi ndogo za chama hicho Lumumba Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa chama
cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiongoza Kikao cha Kamati Kuu
(CC) ya CCM kilichofanyika katika Ofisi ndogo za chama hicho Lumumba Jijini Dar es salaam.(Picha na Ikulu)
No comments:
Post a Comment