Habari za Punde

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Katika Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam leo.


Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli  akipiga makofi  pamoja na wajumbe wengine wa Kamati Kuu (CC) ya CCM mara baada ya kuwasili  ukumbini kwa ajili ya kuongoza Kikao hicho kilichofanyika katika Ofisi ndogo za chama  hicho Lumumba Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli  akipiga makofi  pamoja na wajumbe wengine wa Kamati Kuu (CC) ya CCM mara baada ya kuwasili  ukumbini kwa ajili ya kuongoza Kikao hicho kilichofanyika katika Ofisi ndogo za chama  hicho Lumumba Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiongoza Kikao cha Kamati Kuu (CC) ya CCM kilichofanyika katika Ofisi ndogo za chama  hicho Lumumba Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiongoza Kikao cha Kamati Kuu (CC) ya CCM kilichofanyika katika Ofisi ndogo za chama  hicho Lumumba Jijini Dar es salaam.(Picha na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.