Wananchi mbalimbali
wakikimbilia msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli mara baada ya kusimama katika eneo la Mbezi Mwisho ambapo aliwahutubia
wananchi hao.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
mamia ya wananchi wa Mbezi Mwisho
waliosimama katikati barabara ya Morogoro kuhusu kero zao mbalimbali wakati
akitokea Kibaha Kwa mfipa mkoani Pwani ambapo aliweka jiwe la Msingi ujenzi wa
Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
mamia ya wananchi wa Mbezi Mwisho
waliosimama katikati barabara ya Morogoro kuhusu kero zao mbalimbali wakati
akitokea Kibaha Kwa mfipa mkoani Pwani ambapo aliweka jiwe la Msingi ujenzi wa
Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
mamia ya wananchi wa Mbezi Mwisho
waliosimama katikati barabara ya Morogoro kuhusu kero zao mbalimbali wakati
akitokea Kibaha Kwa mfipa mkoani Pwani ambapo aliweka jiwe la Msingi ujenzi wa
Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere.
Wananchi wa Mbezi
Mwisho wakishangilia wakati msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli ulipokuwa ukipita katika eneo la Mbezi mwisho jijini
Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Kibaha
maili moja wakati akitokea Kibaha kwa mfipa mkoani Pwani ambapo aliweka jiwe la
Msingi ujenzi wa Chuo cha Uongozi cha Mwalimu Julius Nyerere.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment