Habari za Punde

Waziri Kangi Lugola Atembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia Ukonga Jijini Dar es Salaam leo.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola  akithibitisha ubora wa silaha baada ya kutembelea  Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam
Waziri  wa Mambo  ya  Ndani  ya  Nchi, Kangi Lugola (watatu kutoka kushoto), akipata maelezo juu ya ubora wa silaha inayotumika katika kupambana na uhalifu baada ya kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia,  kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam
 Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Nsato Marijani (kulia), akizungumza na  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,  baada ya waziri kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam. Kulia ni   Mrakibu Mwandamizi, Paulo Sanga. 
 Sajenti  wa Jeshi  la Polisi, Kusekwa Machibya  akizungumza na  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,  Kangi Lugola  (wapili kutoka kushoto)  baada ya waziri kutembelea  Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza Ghasia, kilichopo Ukonga,  jijini Dar es Salaam. Wengine ni Maofisa wa jeshi kutoka Makao Makuu ya Polisi, walioongozana na waziri katika ziara hiyo

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi, Nsato Marijani  akizungumza na  Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,  Kangi Lugola,  baada ya waziri kutembelea Makao Makuu ya Kikosi cha Kutuliza  Ghasia, kilichopo Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.