MKURUGENZI Mtendaji Kampuni ya Uvuvi ya Zanzibar (ZAFICO) Zahor Kassim Mohamed (kulia) wakitia saini na Mwenyekiti wa Hairu Group ya Sirilanka Zainul-Abdeen Mohamed kwaajili ya Ununuzi wa Boti ya Kisasa ya Uvuvi, katika hafla iliofanyika Ukumbi wa Wizara ya Kilimo, Mifugo, Maliasili na Uvuvi Darajani Mjini Zanzibar.
MKURUGENZI Mtendaji Kampuni ya Uvuvi ya Zanzibar (ZAFICO) Zahor Kassim Mohamed (kulia) wakibadilishana hati za makubadhiano na Mwenyekiti wa Hairu Group ya Sirilanka Zainul-Abdeen Mohamed kwaajili ya Ununuzi wa Boti ya Kisasa ya Uvuvi, katika hafla iliofanyika Ukumbi wa Wizara ya Kilimo, Mifugo, Maliasili na Uvuvi Darajani Mjin
PICHA NA ABDALLA OMAR - MAELEZO ZANZIBAR.
No comments:
Post a Comment