Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais wa
Uganda Yoweri Museveni kabla ya kupita kwenye Gadi ya Heshma katika uwanja wa
ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa
Uganda Yoweri Museveni wakati akiangalia kikundi cha ngoma za asili mara baada
ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere
jijini Dar es Salaam kwa ajili ya ziara ya siku moja nchini.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Uganda Yoweri Museveni, akimtambulisha kwa Viongozi wa Serikali waliofika kumpokea mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam kwa ajili ya ziara ya siku moja nchini.
Rais wa Uganda
Yoweri Museveni akizungumza na wanahabari hawapo pichani mara baada ya kikao
chake na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanahabari hawapo
pichani mara baada ya kikao chake na Rais wa Uganda Yoweri Museveni Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru Rais wa Uganda Yoweri
Museveni mara baada ya kuzungumza na wanahabari Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na mgeni wake
Rais wa Uganda Yoweri Museveni mara baada ya kutoka kwenye chumba cha mkutano
wa Wanahabari Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa
Uganda Yoweri , baada ya mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment