Habari za Punde

Watendaji Unesco watembelea Redio Jamii Mkoani

 MENEJA wa Redio Jamii Mkoani Ali Abass wa kwanza Kulia, akisoma taarifa fupi ya Redio hiyo kwa watendaji wa UNESCO wakati walipofika kuangalia mambo mbali mbali katika redio jamii Mkoani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 WATENDAJI wa UNESCO Tanzania wakiongozwa na Meneja wa Mradi wa Kitengo cha Mawasiliano na Habari, Christopher Legal pamoja na Afisa wa Kitengo cha mawasialiano na Habari UNESCO Tanzania Rose Nguwangwa, wakiangalia utendaji kazi wa studio ya Redio Jamii Mkoani.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 FUNDI mitambo wa Redio Jamii Mkoani Said Baraghashi, akitoa maelezo kwa watendaji wa UNESCO Tanzania, wakati walipotembelea Studio ya Redio hiyo katika ziara yao ya kuangalia mambo mbali mbali katika Radio za Jamii Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
 MAAFISA wa Kitengo cha Mawasiliano na Habari kutoka UNESCO Tanzania,  wakiangalia mnara wa kurushia matangazo wa Kituo cha Radio Jamii Mkoani, wakati walipofanya ziara yao Kisiwani Pemba kutembelea Radio za Jamii.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


MAAFISA wa Kitengo cha Mawasiliano na Habari Kutoka UNESCO Tanzania, wakizungumza na wasikilizaji wa Radio Jamii Mkoani huko Kisiwa Panza, lengo ni kupata maoni ya wasikilizaji wa redio hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.