MAFUNDI wa Ujenzi kutoka Kikosi cha Kuzuwia Magendo zanzibar KMKM, wakiendelea na ujenzi wa Nyumba za makaazi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, unaoendelea huko Pagali Wilaya ya Chake Chake Pemba (PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAZIRI wa nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohammed Aboud Mohammed, akimsikiliza kwa makini injia wa ujenzi kutoka idara ya Majenzi Pemba Mansour Mohamed Kassim, juu ya hali ya ujenzi wa Nyumba za Makaazi za Makamu wa Pili unavoendelea huko Pagali, Chake Chake Pemba (PICHA NA
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohammed Aboud Mohammed wa pili kulia, akiangalia ramani ya Ujenzi ya Nyumba za makaazi ya Makamu wa Pili wa Rais, ujenzi unaoendelea huko Pangali Wilaya ya Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohammed Aboud Mohammed wa pili kulia, akiangalia ramani ya Ujenzi ya Nyumba za makaazi ya Makamu wa Pili wa Rais, ujenzi unaoendelea huko Pangali Wilaya ya Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment