Kaimu Kamishna wa Fedha na Lojistiki, DCP
Leonard Paul na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi
Mhimbili Prof. Andrea Pembe wakisaini makubaliano ambapo Chuo hicho kimelipatia
Jeshi la Polisi eneo la ekari mbili katika Kampasi ya Mloganzila kwa ajili ya
ujenzi wa kituo cha Polisi.Makubalino hayo yalisainiwa Makao Makuu ya Polisi
Dar es Salaam
Kaimu Kamishna wa Fedha na Lojistiki, DCP
Leonard Paul na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi
Mhimbili Prof. Andrea Pembe wakibadilishana nyaraka baada ya kusaini
makubaliano ambapo Chuo hicho kimelipatia Jeshi la Polisi eneo la ekari mbili
katika Kampasi ya Mloganzila kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Polisi.Makubalino
hayo yalisainiwa Makao Makuu ya Polisi Dar es Salaam
Kaimu Kamishna wa Fedha na Lojistiki, DCP
Leonard Paul na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi
Mhimbili Prof. Andrea Pembe wakionyesha nyaraka baada ya kusaini makubaliano
ambapo Chuo hicho kimelipatia Jeshi la Polisi eneo la ekari mbili katika
Kampasi ya Mloganzila kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Polisi.Makubalino hayo
yalisainiwa Makao Makuu ya Polisi Dar es Salaam
Maofisa kutoka Makao Makuu ya Polisi na viongozi
wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi Mhimbili wakiwa katika picha ya pamoja baada ya
kusaini makubaliano ambapo Chuo hicho kimelipatia Jeshi la Polisi eneo la ekari
mbili katika Kampasi ya Mloganzila kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha
Polisi.Makubalino hayo yalisainiwa Makao Makuu ya Polisi Dar es Salaam
Kaimu Kamishna wa
Fedha na Lojistiki, DCP Leonard Paul na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na
Sayansi shirikishi Mhimbili Prof. Andrea Pembe wakizungumza baada ya kusaini
makubaliano ambapo Chuo hicho kimelipatia Jeshi la Polisi eneo la ekari mbili
katika Kampasi ya Mloganzila kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Polisi.Makubalino
hayo yalisainiwa Makao Makuu ya Polisi Dar es Salaam.(Picha na Jeshi la Polisi)
No comments:
Post a Comment