Beni ya mbwa kachoka ikiongoza maandamano ya Wasanii mbalimbali wakati wa Uzinduzi wa Tamasha la Kwanza la Urithi wa Mtanzania linalofanyika katika viwanja vya Maisara Zanzibar.
SAMIA LEGAL AID KURUDISHA TABASAMU LA WANANCHI.
-
Na Seif Mangwangi, Michuzi TV, Arusha.
Msaada wa kisheria wa Samia Legal Aids umeahidi kurudisha tabasamu kwa
wananchi kwa kuwapatia msaada wa kisheria k...
4 minutes ago
0 Comments