Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha
ya pamoja na baadhi ya Askari wa Usalama barabarani (Trafiki),alipopata nao
chai ya asubuhi mara baada ya kutoka kushiriki Ibada ya Misa Takatifu katika
Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Osterybay Jijini Dar es salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata chai ya asubuhi na baadhi ya Askari
wa Usalama barabarani (Trafiki) Ikulu Jijini Dar es salaam mara baada ya
kushiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya
Osterybay Jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata chai ya asubuhi na baadhi ya Askari
wa Usalama barabarani (Trafiki) Ikulu Jijini Dar es salaam mara baada ya
kushiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya
Osterybay Jijini Dar es salaam.Septemba 23,2018.
Picha na Ikulu.
No comments:
Post a Comment