Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akiwasili
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), tayari kuelekea
jijini Arusha kwa ziara ya kikazi.Katikati ni Mkuu wa Kituo cha Polisi KIA,
Mrakibu Msaidizi Abel Mgode na kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani
mkoa wa Kilimanjaro, Mrakibu Msaidizi Zauda Mohamed.
Naibu Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akiweka saini katika daftari la wageni
baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA),
tayari kwa ziara ya kikazi jijini Arusha.Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama
Barabarani mkoa wa Kilimanjaro,Mrakibu Msaidizi Zauda Mohamed na katikati ni
Mkuu wa Kituo cha Polisi KIA,Mrakibu Msaidizi Abel Mgode.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani
ya Nchi
No comments:
Post a Comment