Naibu Waziri Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima akifafanua jambo mbele ya
Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira mara baada ya kuwasilisha
taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira katika ngazi ya Serikali za
Mitaa. Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
Naibu Waziri Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima akifafanua jambo mbele ya
Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira mara baada ya kuwasilisha
taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira katika ngazi ya Serikali za
Mitaa. Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Balozi Joseph Sokoine akifuatilia
majadiliano mara baada ya Ofisi yake kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa
Sheria ya Mazingira mbele ya Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira.
Kulia ni Mhe. Hawa Mwaifunga Mbunge wa Viti Maalumu.
Sehemu ya waheshiwa wabunge wakifuatilia mjadala, kulia
ni Mhe Josephine Genzabuke na Mhe. Gibson Blasius Meiseyeki.
No comments:
Post a Comment