Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za
Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Japan hapa nchini Shinichi Goto Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Balozi wa Japan hapa
nchini Shinichi Goto mara baada ya kupokea Hati zake za Utambuliso Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi
wa Japan hapa nchini Shinichi Goto mara baada ya kupokea Hati zake za
Utambuliso Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi
wa Japan hapa nchini Shinichi Goto mara baada ya kupokea Hati zake za
Utambuliso Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho
kutoka kwa Balozi mteule wa Georgia hapa nchini Zurab Dvalishivili Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi
mteule wa Georgia hapa nchini Zurab Dvalishivili mara baada ya kupokea Hati zake za
utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Balozi wa Georgia
hapa nchini Zurab Dvalishivili mara
baada ya kupokea Hati zake za utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi
wa Georgia hapa nchini Zurab Dvalishivili
mara baada ya kupokea Hati zake za utambulisho Ikulu jijini Dar es
Salaam.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Georgia
hapa nchini Zurab Dvalishivili mara
baada ya kupokea Hati zake za utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment